antony mavunde

Anthony Peter Mavunde (born 2 March 1984) is a Tanzanian politician who has been a member of the ruling party CCM since 2006. He is the current Minister of Minerals and a Member of Parliament.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Pre GE2025 Antony Mavunde agawa kompyuta kwa shule za serikali Dodoma

    Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Peter Mavunde amegawa vifaa vya tehama vikiwemo kompyuta, printer Kwa shule zote za Serikali za jiji La Dodoma. Sanjali na hayo, Mhe. Mavunde amegawa compyuta 41 kwa ofisi zote za kata katika jiji La Dodoma Pamoja na kuzindua...
  2. ChoiceVariable

    Antony Mavunde: Wafanyabiashara kurejeshewa Madini yao yaliyochukuliwa na Serikali mwaka 2017

    Hayo ndio yamejiri huko Mererani Wakati Waziri wa Madini bwana Antony Mavunde akizindua Mnada wa mauzo ya Madini ya Vito kwenye Jengo jipya lilojengwa na Serikali maarufu kama Magufuli House. Bwana Mavunde bila kueleza sababu za serikali kunyachukua Madini kutoka kwa wafanyabiashara mwaka 2017...
  3. B

    Barrick yakabidhi gawio la mrahaba vijiji 5 wilayani Tarime Barrick yakabidhi gawio la mrahaba vijiji 5 wilayani Tarime

    Viongozi wa vijiji vilivyopata gawio la mrahaba wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mavunde na viongozi wa Barrick na Serikali mkoani Mara. Kampuni ya Barrick nchini yenye ubia na Serikali kupitia kampuni ya Twiga Minerals kupitia mgodi wake wa North Mara, imekabidhi gawio la shilingi...
Back
Top Bottom