An application programming interface (API) is a computing interface which defines interactions between multiple software intermediaries. It defines the kinds of calls or requests that can be made, how to make them, the data formats that should be used, the conventions to follow, etc. It can also provide extension mechanisms so that users can extend existing functionality in various ways and to varying degrees. An API can be entirely custom, specific to a component, or it can be designed based on an industry-standard to ensure interoperability. Through information hiding, APIs enable modular programming, which allows users to use the interface independently of the implementation.
Wakuu (wahusika) habari ya jioni.
Samahani kwa usumbufu, lakini nimekua nikiifuatilia sana hii kitu NMB SANDBOX API huduma ya NMB Bank kwa ajili ya staturps/computer developers ambapo wanaweza kuitumia kwenye mifumo yao wanayoi develop ku-utilize NMB financial services.
Kwakweli imekua...
Hello bosses.....
Musk alikosea sana kufukuza fukuza watu hovyo, mm shabiki yake lkn kwa hilo alikosea, makampuni mengi yamefanya layoff ila yanaenda polepole sio kwa speed ya kufukuza watu wengi kiasi kile.
Sasa watu wamedukua twitter masaa mawili yalopita, data za zaidi ya watumiaji million...
Ndugu wanajamii naomba msaada wenu wa kisheria, kuna jamaa tumepelekana kwenye baraza la ardhi la kata baada ya kung'ang'ania kwenye kiwanja Cha familia hii ni baada ya yeye kuja kuomba kukaa pale Kwa muda, tulipo taka kwenda kujenga akakataa kuwa kile kiwanja ameisha pewa na serikali ya Kijiji...
Tunawapongeza TCRA kwa kuifungia app ya Mange Kimambi, kwa TZ mpaka uwe na VPN ndo unaipata.
Lakini Hilo halitoshi kwani Bado anaendelea kuwachangisha Watanzania kupitia Selcom. Yaan watu wanalipia upumbavu na ikiukwaji wa maadili kwenye app yake.
TCRA tunajua mna uwezo wa kumwambia Selcom...
Habari,
Naitaji kufaham jinsi ya kupata access ya API ya NECTA ili kuweza kuverify index number ya mwanafunzi au utaratibu wowote au mwenye nazo anaweza kushare.
Asante!
Habari wadau, Mwishoni mwa 2021, November to December nilitengeneza algorithm ya kubashiri mpira wa miguu. Nilitengeneza console application kwa majaribio, kwa kipindi cha December yote timu nilizo analyse hakuna iliyoenda nje na prediction result, Nimeamua nitengeneze application kabisa lakini...
Wakuu nina ofisi inayonajishughurisha na software development, Juzi nimepata mteja ambaye anataka "School Management System" lakin anataka malipo yakifanyika kwenye account ya shule yaonekane kwenye system. Na hili ili liwezekane nilazma nipate API ya bank ya account husika. Kama kuna mtu...
Wakuu nataka kutungeneza API sasa nilikuwa naomba muongozo kwa ujumla ni lugha gani zinatumika, fiaida na hasara ya lugha husika in general kuhusiana kutengeneza API.
Katika dunia ya sasa ambapo kwa sehemu kubwa tunahitaji simplicity nawapongeza Vodacom M-Pesa kwa kuachia API zao za M-Pesa ili developers mbalimbali kuweza kutengeneza products ambazo zitakuwa na uwezo wa kulink na huduma za M-Pesa bila longo longo au procedures nyingi.
Sasa ni wakati wetu...
Habarini wakuu, nipo najifunza mobile development na nilikuwa nimefikia kipengele cha kutumia API, nimetumia API zile za free na nimepata matokeo chanya.
Sasa changamoto yangu ni jinsi ya kupata vitu vya muhimu kama key kwa ajili ya kutumia mfano nilikuwa nahitaji key za hii API lakini...
Developers, Vodacom appears to have released the M-Pesa API. See M-Pesa Developer Portal
Developers, we can now create more solutions for online payments involving M-Pesa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.