apinga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Askofu Niwemugizi apinga hoja ya Chato kuwa mkoa. Ataka Rais Samia asishinikizwe bali ashauriwe vizuri

    PICHA: Askofu Severine Niwemugizi Toka mezani kwa Askofu Severine Niwemugizi Tumesikia pendekezo la kikao cha ushauri cha mkoa wa Geita kuhusu uundwaji wa mkoa mpya wa Chato. Lakini ushauri wa mkoa wa Geita tu hautoshi kufanya uamuzi. Kagera zaidi inahusika katika hili kama wilaya zake mbili...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…