Wa Salaamu . Hizi app za kukopesha fedha mitandaoni zimekua nyingi mno.
Kila ukiingia online ni promotion za app hizo.
Kwa wale wataalamu wa kiuchumi hii ni kiashiria gani kimaendeleo?
Je hii ni indicator kwamba uchumi unakua kwa kasi au unaporomoka?
Naombeni msaada wenu ili nitoe tongo...