artificial beach

  1. ndege JOHN

    Dodoma watengenezewe beach artificial

    Kuna huu Ufukwe mkubwa zaidi barani Afrika wa 'Man-made unaitwa Munyaka Estate crystal lagoon umefunguliwa Johannesburg, ni mkubwa mara 7 ya uwanja wa mpira na ni ufukwe wa 3 wa Afrika Kusini uliotengenezwa na binadamu. Nina wazo tu serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi waunde huo mradi...
Back
Top Bottom