aru

  1. Bushmamy

    DOKEZO Arusha, Kilimanjaro kuna ongezeko kubwa la viwanda bubu vya pombe

    Pombe kali za makopo ambazo hazina viwango, na nyingne kali za kupima kwenye vikombe ama glasi(sio gongo) ambazo hazijulikani zimetengenezwa wap na kwa kutumia nini. Wanywaji wa Pombe hizo wamekuwa wakisema zinawapotezea kumbukumbu pindi wanywapo. Na wengine hupoteza fahamu hadi siku mbili ...
  2. Slim5

    KERO Mfumo wa "Online Application" wa ARU hauleti "Control Number"

    Tangu jana mfumo haurudishi CONTROL NAMBER na hivyo Applicant hawezi kuendelea na Application Process. Wahusika hawajali.
  3. Poppy Hatonn

    Mauzauza Arumeru: Mawe yanarushwa na watu wasioonekana

    Kuna matatizo ya vimbwenga katika Kijiji kimoja huko Aru meru Mawe yanarushwa na watu wasioonekana. Hii habari ipo You Tube,"Mauzauza; mawe ya ajabu,anayerusha haonekani..." Sasa hawa watu wanasema wanawashuku wageni fulani ambao wamefika pale. Kwa hiyo wanataka kupiga kura ya maoni,wafukuze...
  4. Poppy Hatonn

    Jwtz inapaswa kuingiza vifaru barabarani kushinikiza umoja

    Wanataka kuunda serikali katika hali ambayo hawana umoja, hali ambayo wanachukiana sana.
  5. Ushimen

    Call For Interview UTUMISHI at WMA, ARU, WHC, KUWASA, TIE, NIT, MSD, April 2021

    INTERVIEW ANNOUNCEMENT Click below to download PDF: Bofya linki hapo chini kudownload PDF:
  6. Ushimen

    UTUMISHI Jobs At WHC, MUHAS, SHUWASA & ARU, March 2021- (15 Posts)

    JOB OPPORTUNITIES Bonyeza hapo chini kudownload PDF: TANGAZO LA KAZI UTUMISHI- PDF APPLICATION INSTRUCTIONS If you want to apply, click below:
  7. Mlenge

    Kujiunga Na Chuo Kikuu Ardhi

    Angalia kiambatisho, mahsusi kwa wenye diploma na kwa waliosoma kidato cha sita. JIUNGE SASA http://admission.aru.ac.tz/
Back
Top Bottom