WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amemfukuza kazi Ofisa Ardhi wa Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, Nicodemus Hillu, kwa kosa la kurejesha eneo lenye ukubwa wa ekari 3000, kwa mwekezaji Paradeep Lodhia, lililokuwa limefutwa na Rais Dk. John Magufuli.
Katika...