DODOMA - JULAI 19, 2021
TAARIFA KWA UMMA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI
ACHUKUA RUSHWA ILI MWANAFUNZI ASIENDE SHULE
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma leo Julai 19, 2021 inatarajia kumfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma Bw. Maliselo Kapampa Saveli (29) na...