asili ya mwafrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Damaso

    Tuwaheshimu Watalamu wa Jadi

    Ilikuwa mwaka 2006 majira ya Jumamosi nipo zangu nyuma ya bweni nikishua shuka zangu mbili na sare za shule, pembeni nipo na redio yangu niliyopewa na Babu. Hapo ni kidato cha pili, kidogo swahiba wangu mkubwa sana alikuja mbio na kunipa taarifa kuwa Mwalimu Mkuu ananiita kwake, sio mbali...
Back
Top Bottom