Binadamu kiasili ameumbwa na hofu mbili tu,yaani hofu hizi ndio asili yake
Hofu ya kwanza ni kuanguka,hii ni hofu ya asili tangu tukiwa utotoni, ndio maana mtoto ambaye anaanza kusimama mara nyingi huwa na hofu ya kuanguka
Hofu ya pili ni ya sauti, hizi hofu mbili hatukufundishwa bali tumekuwa...