asilimia 10 za mikopo ya halmashauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Program Manager

    KERO Mikopo ya asilimia 10 ni Changamoto

    Mimi ni kijana Mjasiriamali,miongoni mwa vijana wanaostahili kupata mikopo hii kwani Ninakidhi vigezo vyote. Lengo la kutoa mikopo hii lilikuwa ni kutuwezesha sisi wajasiriamali kuinuka kiuchumi na kuinua mitaji yetu. Changamoto ni kwamba tunaunda vikundi ,tunaandaa katiba na vielelezo vyote...
  2. OR TAMISEMI

    Mkurugenzi Beatrice Kimoleta: TAMISEMI yafanya maboresho ya Sheria na Kanuni Mikopo ya Asilimia 10

    Mkurugenzi wa Tawala za Mikoa wa Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Beatrice Kimoleta amesema baada ya Serikali kutangaza kurejesha mikopo ya vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, Ofisi ya Rais – TAMISEMI imefanya masuala mbalimbali kuboresha mikopo hiyo kwa kufanya marekebisho ya Sheria ya...
  3. Ojuolegbha

    Changamkieni asilimia 10 za mikopo ya Halmashauri

    - SOKO LA BWILINGU NI FURSA KWA KILA MTU AELEZA MHE. MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze Mhe.Ridhiwani Kikwete amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Chalinze kuwapeleka Maafisa Maendeleo...
Back
Top Bottom