Akizungumza kwa niaba ya Baraza la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dkt. Fredrick Shoo, ametoa wito kwa mamlaka na vyombo vyote vinavyohusika kuhakikisha vyama vyote vya siasa vinavyogombea uchaguzi wa...