Viongozi wa Dini mkoani Manyara wametoa wito kwa vyama na wagombea wa vyama vya siasa kutumia lugha za kistaarabu wakati wa kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa zinazoanza Novemba 20 mwaka huu ili kudumisha amani, upendo na mshikamano wa kitaifa.
Soma, Pia: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa...