Msikilize kwa makini Dkt.Isaac Laizer Askofu KKKT Dayosisi ya Magharibi akiongea na wahumini katika Kongamano la UKWATA kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea
"Ndugu zangu tunahitaji kuondoa roho za utekaji. Katika nchi hii siku hizi kutekwa ni jambo la kawaida sana. Na ninyi mnashuhudia watu...