Na Mwandishi Wetu, London.
Askofu Lazarus Msimbe S.D.S wa Jimbo Katoliki Morogoro (pichani) amewataka Watanzania waishio nchini Uingereza (Diaspora) kutambua na kuendeleza mshikamano baina ya waumini mahali walipo.
Askofu Msimbe ametoa wito huo wakati akitoa homilia kwenye Adhimisho la Misa...