Wakuu,
Askofu Mkuu Mstaafu wa Makanisa ya Elim Pentekoste Tanzania, Peter Konki, amehimiza wananchi kuendeleza umoja baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, na kuvitaka vyama vya upinzani kuendelea kujipanga ili kuongeza ushindani.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi...