Ni kweli Profesa Assad alisema hatapiga kura hadi nchi hii ianze kupiga kura kidigital?
Alisema lini na akiwa wapi? Maana naona kauli hiyo tu watu wanashare ila sioni wakisema chanzo.
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.
Amesema hayo kwa hoja ya kwamba Watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.
Aidha amesema...
assadkurakidigitaliassad sitapiga kura
kuchagua viongozi
kupiga kurakidigitalikurakidigitali
mussa assad
prof assad
profesa mussa assad
wizi wa kura
wizi wa uchaguzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.