AstraZeneca plc () is a British multinational pharmaceutical and biopharmaceutical company with its headquarters in Cambridge, England. AstraZeneca has a portfolio of products for major disease areas including cancer, cardiovascular, gastrointestinal, infection, neuroscience, respiratory and inflammation. AstraZeneca AB, the Swedish arm of the company, is a subsidiary of AstraZeneca plc.The company was founded in 1999 through the merger of the Swedish Astra AB and the British Zeneca Group (itself formed by the demerger of the pharmaceutical operations of Imperial Chemical Industries in 1993). Since the merger it has been among the world's largest pharmaceutical companies and has made numerous corporate acquisitions, including Cambridge Antibody Technology (in 2006), MedImmune (in 2007), Spirogen (in 2013) and Definiens (by MedImmune in 2014). It has its research and development concentrated in three strategic centres: Cambridge, England; Gothenburg, Sweden and Gaithersburg in Maryland, U.S.AstraZeneca has a primary listing on the London Stock Exchange and is a constituent of the FTSE 100 Index. It has secondary listings on the Nasdaq, the Bombay Stock Exchange, National Stock Exchange of India and the Swedish OMX exchange.
🇬🇧🇸🇪 AstraZeneca is withdrawing its Covid vaccine worldwide, The Telegraph reports.
The pharmaceutical giant recently admitted in court for the first time that its vaccine can cause a rare and dangerous side effect.
But the company claims the recall decision is purely commercial, as the...
Pasi maalumu ya Umoja wa Ulaya, itakayoanza kutumika tarehe 1 mwezi Julai kurahisisha safari kwenda Ulaya kwa wale waliopata chanjo itaanza kufanya kazi lakini ikiwa na sharti moja muhimu.
Mtu yeyote aliyepewa chanjo ya AstraZeneca inayozalishwa na Taasisi ya Serum ya India hatastahiki kupata...
Awali wananchi hawa walitakuwa kuchomwa dozi ya pili ya AstraZeneca wiki nne baada ya chanjo ya kwanza dhidi ya virusi vya Corona kukamilika lakini haikuwezekana kutokana na sababu zisizozuilika, wizara ya afya nchini Rwanda ilisema
Rwanda imeanza zoezi la kutoa chanjo ya pili aina ya...
Kenya inatarajiwa kupokea dozi 72,000 za chanjo ya Oxford/AstraZeneca kutoka Sudan Kusini zilizorudishwa kwa Mpango wa Pamoja wa Chanjo wa Dunia, COVAX.
Sudan Kusini imesema inarudisha chanjo hizo kutokana na kushindwa kuzigawa kwa wananchi kwa wakati kabla hazijaisha muda wake wa matumizi...
Nicosia.A 39-year-old British woman died in a Cypriot hospital after a blood clotting incident after receiving the AstraZeneca Covid-19 vaccine, the official Cyprus News Agency said Monday.
Charalambos Charilaou, the spokesperson for the state health services, told CNA that the European...
Kamishna wa Umoja wa Ulaya anayehusika na Soko la Ndani, Thierry Breton amesema umoja huo haujarefusha mkataba wa kuendelea na chanjo ya Covid-19 ya ubia wa makampuni ya Kiingereza na Kisweden ya AstraZeneca.
Breton ameiambia televisheni ya Ufaransa "France International" kwamba hawajarefusha...
Summary
The decision was made to ensure usage of the vaccines before the expiry date on June 24.
The DRC has not issued a vaccination plan to support a mass vaccination campaign and has an insufficient number of vaccination sites.
The Democratic Republic of Congo says it will return to the...
Marekani itagawana dozi za Chanjo ya AstraZeneca zipatazo Milioni 60 na Mataifa mengine. Licha ya kuwa Mamlaka hazijatoa idhini ya AstraZeneca kutumika kwa Umma, Marekani imekuwa na akiba ya Chanjo hizo.
Wakosoaji wamekuwa wakiishutumu Marekani kuhodhi Chanjo wakati Nchi nyingine zina uhitaji...
A total of 168 people have suffered rare blood clots after taking the AstraZeneca coronavirus vaccine in Britain, and 32 have died, the UK's medicines regulator said Thursday.
The figures for clots or "thromboembolic events" run up to April 14, by when 21.2 million people had received first...
Speaking to the Irish parliament, Stephen Donnelly said on Thursday: "With regard to AstraZeneca, a legal case has been initiated by the Commission and earlier this week I have joined Ireland as one of the parties to that legal case, specifically around AstraZeneca's complete failure to meet its...
Bodi ya Famasia na Sumu(PPB) ya #Kenya imesema watu 279 walioripotiwa kupata madhara baada ya kupata chanjo ya Astrazeneca 272 walipata nafuu baada ya muda mfupi
Na wengine saba waliokuwa katika hali mbaya waliropotiwa na kutibiwa ambapo wamerudi katika hali ya kawaida ndani ya muda mfupi
PPB...
Seven deaths in UK among AstraZeneca jab recipients after blood clots
SATURDAY APRIL 03 2021
This picture shows vials of the AstraZeneca Covid-19 vaccine in Paris on March 11, 2021.AFP PHOTO
By AFP
The UK medical regulator said Saturday that out of 30 people who suffered blood clots after...
Serikali ya Rwanda imesema haitasitisha mpango wa kutoa chanjo ya Astrazeneca.
Afisa mkuu wa mamlaka ya afya Dkt. Sabin Nsabimana amewaambia waandishi wa habari kuwa chanjo ya Astrazeneca haina madhara.
Tangu wiki mbili zilizopita Rwanda imetoa chanjo kwa watu wapatao 257,000, ambapo theluthi...
Tangu kuingia kwa Virusi vya Corona wataalamu wa Afya wamepambana kutafuta dawa na chanjo kukabiliana na gonjwa hili hatari bila mafanikio.
Hivi karibuni ziligundulika chanjo mbalimbali ikiwemo ASTRAZENECA ambayo ilipitishwa na Shirika la Afya Duniani kuanza kutumika kwa binadamu ili kupunguza...
Uholanzi nayo imeamua kusitisha matumizi ya chanjo ya corona ya Oxford-AstraZeneca kwa kuhofia kuwa na madhara.
Serikali ya Uholanzi imeamua kuchukua hatua hiyo mpaka Machi 29 ili kuchukua tahadhari.
Awali Jamuhuri ya Ireland ilichukua uamuzi huohuo kwa kuhofia hatari ya watu kuganda damu baada...
Shirika la Afya duniani limesema hakuna ushaidi kuwa chanjo ya corona ya Astrazeneca inasababisha damu kuganda.
Msemaji wa WHO - Dr. Margaret Harris amesema nchi zilizokwisha agiza chanjo ya Astrazeneca ziendelee kuitumia kwa wananchi wake maana chanjo iyo ina ufanisi mkubwa.
Kati ya watu...
Thailand leo imejiunga na mataifa kadhaa ya Ulaya kusitisha matumizi ya chanjo ya AstraZeneca kutokana na wasiwasi kuwa inasababisha kuganda kwa damu, licha ya baadhi ya mamlaka za afya duniani kusisitiza kwamba chanjo hiyo ni salama.
Mshauri wa Kamati ya Taifa ya Kusamimia Chanjo ya Virusi vya...
Serikali ya Canada imesema Jana Alhamisi chanjo ya Astrazeneca ni salama na itaendelea kuitumia kwa wananchi wake licha ya nchi za ulaya Norway na Denmark kusitisha kuitumia kwa muda.
Canada ambayo imeagiza chanjo millioni ishirini za Astrazeneca imesema raia wake waliotumia chanjo iyo...
Jumla ya nchi saba tayari zimesitisha utoaji wa chanjo💉 ya Astrazeneca:
✓ Denmark
✓ Iceland
✓ Austria
✓ Estonia
✓ Lithuania
✓ Luxembourg
✓ Latvia
Sababu ya kusimamishwa kwa shughuli hii ni kesi nyingi za watu kurudi hospitali na kugundulika damu yao inaganda, hali ambayo imezua hofu.
Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.