Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Zanzibar, Riziki Pembe Juma amesema ili kukomesha vitendo vya ukatili na udhalilishaji kwa wanawake na watoto, ipo haja wanaume wanaofanya vitendo hivyo kuhasiwa.
Amesema licha ya sheria kuwapo na serikali na wadau wengine kupambana dhidi ya...