Waziri wa zamani wa Ardhi ameandika ukurasani X kwamba Mafuriko ya Rufiji hayajasababishwa na Bwawa la Mwalimu Nyerere lakini pamoja na kuzalisha Umeme Bwawa lilitakiwa kuregulate mafuriko Limeshindwa
Tibaijuka amesema Tudai kujua kwanini na kurekebisha tukitambua Hasara ya kutekeleza miradi...
anna tibaijuka
atharimafurikorufiji
bwawa la nyerere
mafurikorufiji
mradi bwawa la nyerere
prof. anna tibaijuka
tanesco
ujenzi bwawa la nyerere
umeme tanzania