Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi Mhe. Mohamed Nyundo amewaasa Wafanyabiashara na Wananchi wa Kilwa kuacha kujihusisha na biashara za magendo kwani zina athari mbaya kwa jamii na uchumi wa nchi.
Mhe. Nyundo ameyasema hayo leo tarehe 10.02.2025 wakati alipotembelewa na Timu ya Maafisa kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.