athari za mvua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Salma Kikwete: Atoa Pole kwa Wananchi wa Mchinga kutokana na Athari za Mvua zinazoendelea

    Ndugu zangu wananchi wa Mchinga, Napenda kuchukua fursa hii kuwapa pole kwa changamoto zinazotokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika jimbo letu. Tunatambua kuwa mvua hizi zimeleta athari kwa familia zetu, makazi, na shughuli za kila siku. Hata hivyo, napenda kuwahimiza kuwa na utulivu na...
  2. Cute Wife

    Athari za Mvua: Hali ya eneo ulipo ikoje baada ya mvua kuanza kunyesha? Umechukua tahadhari gani?

    Wakuu, Majuzi TMA walitabiri mvua kubwa kuanza kunyesha kwa baadhi ya mikoa, athari zikisemwa kuwa za kawaida. Tumeona mvua imeanza kunyesha, hali ikoje huko ulipo? Miundombinu iko salama? Pia soma TMA yatoa utabiri wa mvua kubwa katika mikoa 25 Itakuwa vizuri ukiweka athari uambatishe na...
  3. Analogia Malenga

    Mwigulu: Mvua na Kimbuga Hidaya zimeharibu kilometa 528 za barabara

    Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba ametaja athari za Kimbunga Hidaya na Mvua za elnino kuwa ziliharibu barabara 68 nchini, ambapo ma-culvet 189 yaliharibiwa. Aidha ni jumla ya kilometa 528 zimeharibiwa kutokana na hali hiyo. Waziri amesema barabara hizo zimeanza kujenga na baadhi zimeanza kuwa...
Back
Top Bottom