athuman kapuya foundation

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chachu Ombara

    Juma Kapuya: Sihusiki na Athuman Kapuya Foundation iliyofungiwa kwa kashfa za ushoga

    Profesa Juma Athuman Kapuya amejitokeza na kuwakemea wote wanaomchafua kwa kumhusisha na Taaisi ya Athuman Kapuya ambayo ilifungiwa na serikali kwa kuhusika na kashfa ya ushoga. Kapuya amesema kwamba yeye jina lake ni Juma Athuman Kapuya, huku baba yake akiitwa Athuman Kapuya. Mama yake...
  2. Erythrocyte

    Pre GE2025 Profesa Juma Kapuya atangaza kugombea ubunge jimbo la Kaliua 2025

    Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza. Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo. Huyu hapa
  3. Stephano Mgendanyi

    Vitabu vinavyohamasisha mapenzi ya jinsia moja vyakamatwa Tabora

    Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume na wanawake ambavyo vilikuwa mbioni kuanza kusambazwa katika shule za msingi na sekondari Wilayani Kaliua kupitia Taasisi isiyo ya kiserikali ya...
  4. Dkt. Gwajima D

    Taarifa ya Kusitisha huduma za Athuman Kapuya Foundation

    Wasaalam. 4 Juni, 2024, Dodoma. ________________ Athuman Kapuya Foundation ni shirika lililosajiliwa mwaka 2021 ambapo, kwa kipindi chote limetekeleza matakwa ya kisheria ya uwasilishaji wa taarifa na kulipa ada. Kwa mujibu wa usajili wao malengo waliyotekeleza na kupelekea hatua...
Back
Top Bottom