auc

  1. F

    Uchaguzi wa Mwenyekiti wa kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) waingia duru ya pili. Odinga atashinda?

    Raila 21 na mgombea wa djibouti,Mohamed youssef kura 24,ila mambo bado,tusubiri
  2. M

    Safari ya Raila Odinga Uenyekiti Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC)

    Jana Raila Odinga na wenzake walifanyiwa mdahalo ikiwa ni maandalizi ya kuukwaa uwenyekiti wa AU hapo February 2025 Mtakie neno la heri kwake.
  3. ChoiceVariable

    Kinyang'anyiro cha Uenyekiti wa AUC: Mahamoud Yousouf wa Djibouti amkalia kooni Raila Odinga wa Kenya. Asipopata Ruto ajiandae

    Wakati uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Au Chairman Ukiwa umekaribia,joto linazidi kupanda. Wagombea Wakuu ni Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Djibouti Mahamoud Ali Yousouf na Raila Odinga wa Kenya ambae Aliwahi kuwa Waziri na Kinara wa vurugu za Kila mara za uchaguzi...
Back
Top Bottom