awesu awesu

Dahiru Awaisu Kuta (16 April 1949 – 11 June 2014) was a Nigerian politician who elected Senator for the Niger East constituency of Niger State, Nigeria, taking office in 2007 till his death in 2014. He was a member of the People's Democratic Party (PDP).
Kuta gained a BA in History, Graduate Certificate in Education and Post graduate Diploma in Public Administration.
In 1983, he was elected to the Niger State House of Assembly, where he became minority whip.
In 1992, he was elected to the Federal House of Representatives and was appointed Chairman of the House Committee on Rules and Business.
He was appointed National Deputy Director of Administration at the PDP Headquarters, and secretary to the Government of Niger State.
Kuta won the 2007 PDP primary election for Niger East, defeating his brother Ibrahim Kuta, the incumbent Senator. He went on to win the Senatorial election in April 2007.
In a mid-term evaluation of Senators in May 2009, ThisDay noted that he was member of the committee for managing the ecological menace due to operation of dams, that he had sponsored and co-sponsored fourteen motions and contributed to debates in plenary.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Hivi kwanini Awesu Awesu haitwi Stars?

    Huyu mchezaji Ana mchango mkubwa sana ktk kkabu yetu, Leo amehusika kwenye Ile penati, mechi zote anazocheza Awesu wanasimba tunafurahi sana, wengine nikiwemo Mimi tunaumia sana akitolewa wakat mpira bado anautaka, Lakin haitwi timu ya Taifa. Awesu amewazidi wachezaji wengi sana wanaoitwa stars...
  2. D

    Awesu Awesu ni mashine hajaitwa timu ya Taifa ila Feitoto kaitwa. Kuna shida pale Taifa Stars

    Huyu kocha Morocco tumwangalie vizuri, anashida ya ku chagua kikosi. Feitoto ni nuksi timu ya Taifa. This is known. Next time tunamwomba Awesu Awesu. Achana na Fei toto. International games ANAPOTEZA muda.
  3. D

    Feisal toto kwanini anaitwa timu ya Taifa na hana kiwango wala msaada timu ya Taifa . bora Awesu Awesu

    I will be short. when did Fei toto ever help taifa stars in anything?? Kwenye mechi yeye ndo mzingo wa timu. hana analofanya anazunguka tu kwenye mechi then anatolewa. Morocco anaona nini kwa Fei toto? Mechi kibao hana hata assist timu ya Taifa. then kila list yupo ila kiwango Hana. ni...
  4. anoldmedia

    Awesu Awesu kuitumikia Simba rasmi

    ➡️ Kmc Fc na Simba Sc zimefikia makubaliano ya uhamisho wa kiungo Awesu Awesu kwa ada ambayo haijawekwa wazi. ✅ Rasmi Awesu Awesu ataitumikia Simba Sc kwa miaka miwil. Klabu ya KMC FC inapenda kuwataarifu wanakinondoni na wadau wa Soka nchini kwamba tumefikia makubaliano ya uhamisho wa...
  5. Nehemia Kilave

    Klabu namba 7 kwa ubora Afrika, haya mambo ya Awesu tusiyaendekeze

    SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25 1. Al Ahly (Egypt) – 87 points 2. Esperance (Tunisia) – 61 points 3. Wydad AC (Morocco) – 60 points 4. Mamelodi Sundowns (South Africa) – 54 points 5. Zamalek (Egypt) – 48 points 6. RS Berkane...
  6. GENTAMYCINE

    Nikisema Uongozi wa Simba SC ni wa Kihuni na wa Yanga SC unajitambua mnanichukia, haya malizeni na la Awesu Awesu

    Na kwa taarifa yenu kuna ya Wachezaji wengine akina Kagoma na Mashaka nao huko walikotoka Vilabu vyao Vimelalamika TFF na Wao watashinda Kesi kama ilivyoshinda KMC. Najua mtamalizana nao hawa Leo kabla ya Dirisha la Usajili kufungwa rasmi Kesho Saa 5 na dakika 59, ila hiki Kitendo kinatosha...
  7. Carasco Putin

    KMC wameshinda kesi dhidi ya Awesu aliyetambulishwa na Simba SC wiki chache zilizopita

    KMC wameshinda kesi dhidi ya AWESU AWESU aliyetambulishwa na Simba sC Tanzania wiki chache zilizopita. Mimi Yanga damu ila Simba wanafanyiwa kisasi.
  8. King Leon 1

    Viongozi wa Simba ndio wanaiua timu bila wao kujua kwa kufanya usajili wa kizamani mwishowe wanapoteza wachezaji je nini kifanyike?

    Kila nikiamka nakutana na habari mbaya za Simba tu bila kuelewa zinatoka wapi na je Viongozi kazi yao nini? Utaratibu wa kusajili kwasasa umebadilika na kuwa wa kisasa zaidi yaani uwazi na ukweli hakuna tena umafia wala njia za mkato kama ilivyo zamani ila naona viongozi wa Simba wameshikilia...
Back
Top Bottom