azam fc vs yanga

Azam Football Club is a professional football club based in Chamazi, Temeke, Dar es Salaam, Tanzania, that competes in the Tanzanian Premier League. Nicknamed Wana Lambalamba, Chamazi Millionaires or the Bakers, the club was founded as Mzizima Football Club in 2004, changed its name to Azam Sports Club in 2005, then Azam Football Club in 2006 and moved to its current stadium, Azam Complex Chamazi, in 2010.
Azam FC have won 10 trophies; one Premier League, a record 5 Mapinduzi Cups, two Kagame Cups, one Tanzania FA Cup and one Community Shield.
In the 2013/14 season, Azam FC won the league unbeaten, and by so doing, the club became only the second (after Simba SC 2009/10) to win the league without losing a single game.
Azam FC were undefeated in the league (26 matches) in a run that stretched to a 38 games, from the 18th round of 2012/13 season to the 4th round of 2014/15. In 2015, the club became the first in the history of Tanzanian clubs to win the Kagame Cup without conceding a goal.
Azam FC is one of the most widely supported football clubs in Tanzania, and has rivalries with Yanga SC, Simba SC, Mtibwa Sugar FC and African Lyon.

View More On Wikipedia.org
  1. Yanga hii ni kama maji usipoyanywa utayaoga, mechi 6 magoli 13 karuhusu magoli 4 tu!

    Ukiichukia hii timu Awana habari na wewe,,na Wala sio shida zao itakulazimu uukubali ukweli tu maana Amna namna yoyote Ile utaitumia kujifariji, Wao wanachokifanya ni kuacha miguu yao iongee na sio mipasho na propaganda! Kamchapa Ts Galax ya Africa kusini 1-0, kamchapa kaizer chief 4-0...
  2. Yanga mmejipata kwenye ubora wenu

    Aisee kwa boli lile mutafika mbali sana msimu huu wa mashindano ya CAF. Lakini na nyinyi lambalamba mnazingua bhana munafungwaje migoli ya kidwanzi Kama ile. Azizi Ki umekuwa kocha mchezaji aisee, Mobeto bado hajakubemenda tu! Anyway napata shida maana nilikuwa natamani utopolo wapigike ili mji...
  3. CEO wa Azam, Popat atoka nduki kwa Mkapa baada ya timu yake ya Azam kukandwa na Yanga

    Ofisa mtendaji wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' alishindwa kuvumilia hadi dakika ya mwisho ya mchezo wa fainali Ngao ya Jamii, na badala yake aliamua kuondoka uwanjani. Soma Pia: Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024
  4. Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

    Match Day ⚽ Azam FC vs Yanga SC 🏟️ Benjamin Mkapa Stadium 🛡️ Community Shield. 📅 11.08.2024 ⏰ 7:00pm #Daimambelenyumamwiko# Tukutane saa Moja kwa Updates... Mwanzo mwisho!! Kikosi Cha Yanga Kinachoanza. KIKOSI CHA AZAM Updates.... Timu zote sasa zinaingia uwanjani ili mchezo uanze...
  5. FT: CRDB Bank Federation Cup 23/24 FINAL: Dak. 120 | Azam FC 0-0 Yanga SC | Pnt (5-6): New Amaan Complex 2/6/2024. Yanga abeba ubingwa

    Hatimae ile siku tuliyokuwa tukiisubiria imefika, ni bonge la mechi kati ya Azam na Yanga katika fainali ya kombe la shirikisho la CRDB Mechi hii itachezwa majira ya saa 2:15 usiku pale kwenye dimba la New Amaan Complex, Zanzibar Je, nini kitatokea katika mtanange huo wa kukata na shoka? Kuwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…