azavel lwaitama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Kesi ya Halima Mdee na Wenzake 18 leo Machi 9, Dkt. Azavel Lwaitama kuhojiwa Mahakamani

    Ile kesi iliyofunguliwa na Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA, wakiongozwa na Halima Mdee, inaendelea leo Mahakamani. Wajumbe wa bodi ya Wadhamini ya Chadema, Dkt. Azavel Lwaitama na Ruth Mollel watahojiwa. Tuendelee kubaki hapa hapa JF kwa Taarifa zaidi.
Back
Top Bottom