azimio

Azimio is an administrative ward in the Temeke district of the Dar es Salaam Region of Tanzania. The ward covers an area of 2.415 km2 (0.932 sq mi) with an average elevation of 30 m (98 ft).In 2016 the Tanzania National Bureau of Statistics report there were 96,212 people in the ward, from 76,832 in 2012, from 61,182 in 2002. The ward has 40,000 inhabitants per square kilometre (100,000/sq mi).

View More On Wikipedia.org
  1. Carlos The Jackal

    Israel walikua nje ya Ardhi yao Kwa miaka 1878 , wakarudi mwaka 1948 Kwa azimio la UN, maajabu ni kua hawakupoteza chochote kuwahusu wao !!.

    Watu wengi hawajui Historia ya hili Taifa la Mungu. Israel ndio waliokabidhiwa Nchi ya Kanani , miaka zaidi ya 1800 kabla ya kurudi kwao Kanani mnamo mwaka 1948, walitawanyika katika mataifa mbalimbali kufuatia Uvamizi wa Rumi . Uvamizi huo uliwafanya Waisrael kukimbilia uhamishoni, wapo...
  2. P

    Azimio la Arusha: Ni muhimu sana rais na cabinet yake yote waisome na kuielewa

    Hivi viongozi wetu wamesoma hii document ya Azimio la Arusha? Pesa tunaitaka, lakini tusifikiri yenyewe ndiyo italeta maendeleo ya nchi. Mikopo inaturudisha nyuma inafanya tuishi maisha magumu sana. Kodi zipo juu ili tu tuweze kulipa mikopo. 😭😭😭
  3. MIXOLOGIST

    Ni upi mustakabali wa SUKUMA GANG baada ya azimio la chama pendwa?

    Hili Genge lilitamba sana miaka ya nyuma na kutuaminisha kwamba lenyewe ndiyo lina hati milili ya uongozi wa nchi yetu Mambo yanaenda kasi sana, na tayari chama chetu pendwa kimekuja na azimio., azimio linalilosababisha vijana zaidi ya 1000 kutembea kutoka Dodoma hadi Dar-es Salaam kuliunga...
  4. P

    DODOMA: CHADEMA Mkoa wa Dodoma wamkataa kata kata Mbowe wasema Kwa sasa ni Lissu Wanakuwa ni Mkoa wa 20 kutoa azimio hilo kati ya Mikoa 31

    https://www.youtube.com/live/3eUZr56l98U?si=Ri2UPJYSDc5O1vN2 Tuache Kudanganyana Mbowe hawezi kushinda huu Uchaguzi tuweni wa kweli na Mungu atatubariki Mbowe hatakiwi kabisa. Mjumbe hata kama utapewa pesa toka CCM ili umchague Mbowe usifanye hivyo utakiua chama.
  5. Rula ya Mafisadi

    TABORA: Mkoa wa Tabora nao Watangaza kumuunga mkono Lissu unakuwa mkoa wa 19 kutangaza azimio hilo

    === Wakati zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi wa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wajumbe na viongozi wa chama hicho mkoa wa Tabora wameazimia kumuunga mkono mgombea wa nafasi hiyo Tundu Lissu, na kubainisha kuwa wanataka kiongozi mchapakazi kwa maendeleo...
  6. Nyaka-One

    Msaada kwa mwenye kujua jina la band na wimbo unaozungumzia Nyerere kutembea kwa miguu kutoka Butiama hadi Mwanza kuunga mkono Azimio la Arusha

    Wadau naomba kwa mwenye kujua anifahamishe jina la band na wimbo wenye maneno haya: ..... Azimio la Arusha lilipotangazwa Tanzania, Nyerere alitembea kutoka Butiama mpaka Mwanza. Juhudi za Mwalimu na watanzania wote, haikupita miaka mingi tukatoka utumwani.... Ni wimbo wa miaka mingi...
  7. B

    Siasa za Mwalimu Nyerere za Ujamaa wa kujitegemea na itikadi yake ya Azimio la Arusha ndio chanzo cha umaskini wa Tanzania

    Leo Oktoba 14, 2024 tunakumbuka kifo cha muasisi wa Tanzania Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliyefariki siku na mwezi kama leo mwaka 1999 takribani miaka 25 sasa imepita Baada ya Tanzania kupata uhuru wake mwaka 1961 Mwalimu Nyerere alipata kufanya ziara nchini Marekani (USA) alikutana na Rais...
  8. Mohamed Said

    Hamisi Heri: Kutoka Uasisi wa TANU 1954 Hadi Azimio la Arusha 1967

    HAMISI HERI KUTOKA UASISI WA TANU 1954, KURA TATU 1958 HADI AZIMIO LA ARUSHA 1967 Familia ya Hamisi Heri imeipatia Maktaba picha ya Hamisi Heri mmoja wa waasisi wa TANU, Tanga. Picha imepigwa Korogwe mwaka wa 1967 wakati huo Hamisi Heri akiwa Mwenyekiti wa TANU wa Mkoa wa Tanga akikagua miradi...
  9. Webabu

    Norway yasema kuitambua Palestina ni kutekeleza azimio la Oslo

    Norway ambayo ni moja ya nchi tatu zilizoamua kulitambua taifa la Palestina imesema uamuzi wake huo ni kuendana na makubaliano yaliyofikiwa nchini mwake mwaka 1993. Makubaliano hayo yaliyotiwa saini White house nchini Marekani yalifanyika mwak 1993 wakati wa uongozi wa Yasser Arrafat na Bill...
  10. Pfizer

    Aweso ashiriki kupitisha Azimio la Mawaziri la Kongamano la 10 la Maji Duniani

    Leo tarehe 21 Mei 2024 ukumbi wa Bali katika ukumbi wa Bali International Convention Center nchini Indonesia Tanzania imeungana na nchi nyingine duniani katika Kongamano la 10 la Maji Duniani (10th World Water Forum) ambalo limepitisha Azimio la Mawaziri (Ministerial Declaration on Water for...
  11. Webabu

    Azimio la kuitambua Palestina lapita UN kwa kura 143. Kikwazo bado ni Marekani tu

    Uamuzi wa Hamas kulitetea taifa la Palestina unaendelea kuzaa matunda kwa mataifa mengi zaidi kuendelea kulitambua taifa hilo katika ngazi ya Umoja wa mataifa. Katika kura zilizopigwa jana kwenye baraza kuu la UN jumla ya kura 143 ziliunga mkono,Tisa tu ndizo zilizokataa na 25 wakaamua kutopiga...
  12. Ritz

    Azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kufikiria upya uanachama wa Palestina lapitishwa

    Wanakumbi. 🚨🇺🇳🇵🇸BREAKING: UN YAPITIA AZIMIO LA KUSAIDIA UANACHAMA WA PALESTINA Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilipitisha kwa wingi azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kufikiria upya na kuunga mkono uanachama kamili wa Palestina katika Umoja wa Mataifa. Nchi mia moja arobaini na...
  13. MK254

    Marekani watoa sharti kwa Qatar kwamba HAMAS wafukuzwe mara moja kama watakaidi azimio la sasa la Israel

    Sijui watahamia wapi au waje huku kwa wanaopenda kufia haya mavitu... US Secretary of State Anthony Blinken warned Qatar last month that they should expel Hamas senior officials if the terror group rejects another ceasefire proposal, the Washington Post reported Saturday morning. Qatar...
  14. Ritz

    Tazama tu jinsi Wazayuni wanavyolia na kupayuka juu ya Azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Wanaukumbi. Tazama tu jinsi Wazayuni wanavyolia na kupayuka juu ya azimio la baraza la usalama la Umoja wa Mataifa Netanyahu amekasirika. Alighairi ujumbe kwa DC kwa sababu Marekani ilijiepusha na azimio la kutaka kusitishwa kwa mapigano. Lakini hajakasirika kiasi kwamba atakataa $3.3B...
  15. Webabu

    Israel yatoa vitisho kwa Marekani kama haitatumia kura yake ya veto kupinga azimio kwenye UNSC

    Siku za Benjamin Netanyahu, mbabe wa Israel zinaelekea ukingoni kutokana na kushindwa kufikia malengo ya vita vya Gaza na kutaka kuikokota hata Marekani kwenye matakwa yake. Azimio jipya linatarajiwa kupigiwa kura leo kwenye baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambapo baada ya marekebisho ya...
  16. B

    UNSC: Azimio uchwara la Marekani kusimamisha vita Gaza lapigwa Munda

    Imekuwa aibu kwa Marekani na azimio lake uchwara la kusimamisha vita Gaza. Kwamba halikupigwa veto moja bali duble duble Marekani ijitafakari sana. Wenye akili zao wanatambua, urafiki na Marekani ni wa kinafiki: https://www.youtube.com/watch?v=i0_CReHGOKM Mkenya atapinga.
  17. The Sheriff

    Umoja wa Mataifa wapitisha azimio la kwanza la kimataifa kuhusu 'Artificial Intelligence' ili kulinda Haki za Binadamu

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Alhamisi 21, 2024 limepitisha kwa pamoja azimio la kwanza la kimataifa kuhusu Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI), likiziomba nchi kulinda haki za binadamu, kulinda data binafsi, na kufuatilia kwa karibu teknolojia hiyo ili kubaini hatari zinazoweza...
  18. Webabu

    Marekani yaacha kuiendekeza Israel. Yapeleka azimio UN kutaka vita vya Gaza visitishwe bila masharti yoyote

    Mfadhili mkubwa wa Israel,Marekani baada ya kuona madhara kwa pande zote ya vita vya Gaza,ghafla imebadili mwelekeo na kupeleka azimio baraza la usalama la Umoja wa mataifa linalotaka vita hivyo visitishwe haraka. Katika azimio lililopelekwa baraza hilo mwezi Februari kikwazo ilikuwa ni Marekani...
  19. K

    Rais Samia tupatie Azimio la maadili ya mtanzania kuliepusha Taifa na mmomonyoko wa maadili

    Kwako Rais wetu, kiongozi shupavu na mwanamapinduzi wa kweli Mhe.Samia, ninakusalimu Kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nchi yetu katika vipindi tofauti katika awamu ya kwanza ya utawala, utawala wa Mwalimu ilishuhudia uwepo wa maazimio mbalimbali lakini linaloishi mpaka sasa ni lile...
  20. R

    Nakubaliana na Nape nguzo za Umeme zitumike pia kusafirisha Internet; ila namshauri liwe azimio la baraza la Mawaziri kusaidia utekelezaji

    Nape Nauye amekuja na suluhu ya kusambaza internet kwa kasi kuliko ilivyo sasa. Anasema kwa kuwa kila mwananchi anaumeme kwake basi miundombinu ya TANESCO itumike kufikisha mawasiliano kwenye makazi. Nakubaliana naye kwamba tunakwenda kuondoa gharama za kununua nguzo ambazo ofcoz itapunguza...
Back
Top Bottom