azimio housing estate limited

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jidu La Mabambasi

    Dege Village, Kigamboni, waliokula na kuufisadi mradi huu hawajulikani, mradi umebaki magofu!

    Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake. Aliyeufisadi hajulikani. Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania. Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa hatua kwa kufeli mradi huu. Bunge lipo na Spika wake, na mwenye mradi serikalini yupo. Pia, kuna...
  2. Roving Journalist

    Dege, Deceipt na Dr Dau: Jinsi wafanyakazi wa sekta binafsi wanavyodhulumiwa bila kujua

    Na Brian Cooksey, PhD Kwa Ufupi Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) nchini Tanzania umelaumiwa kwa utendaji mbovu wa mradi wa Dege EcoVillage. Mradi huo, ambao uliachwa miaka saba iliyopita, ulitarajiwa kuwa ushirikiano kati ya NSSF na kampuni binafsi ya Azimio Housing Estate Limited...
  3. Roving Journalist

    Dege, Deceipt and Dr Dau: How private sector employees get ripped off with their eyes wide shut

    By Brian Cooksey, PhD Summary The National Social Security Fund (NSSF) in Tanzania is accused of squandering pension contributions by its contributors through various corrupt practices. The disposal of the abandoned Dege EcoVillage project is the latest instance of this. The fund's management is...
  4. J

    Zabuni ya kuuza mradi wa Dege bado ipo katika mchakato

    Mkurugenzi Mkuu asema thamani ya Mfuko imeongezeka na fedha za wanachama zipo salama. Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Zabuni iliyotangazwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa ajili ya kuuza mradi wa Dege Eco Village uliopo Kigamboni, Dar es Salaam, bado ipo katika mchakato...
  5. BARD AI

    NSSF yakosa tena Mnunuzi wa Mradi wa Dege Kigamboni Mji Mpya

    Ikitimia miezi mitano baada Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kutangaza kuuza mradi wake wa Dege Eco Village uliogharimu Sh330 bilioni hadi sasa, hakuna mzabuni aliyefikia uwezo wa kununua mradi huo. Mradi huo uliopo mji mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam ulioanzishwa na mfuko huo...
  6. Informer

    TANZANIA: How serial pension fund plunderers avoided Magufuli’s anti-corruption drive

    NOTE: This article was written in 2017 After more than a year in power, Tanzanian President John Magufuli had not managed to address corruption in the power sector, and corrupt pension funds, including the National Social Security Fund (NSSF) also successfully escaped his dragnet. Pension...
  7. C

    Rais taifisha majengo ya kifisadi Dege Eco Village

    Mheshimiwa Rais katika hali ilivyo ni vigumu kuvunja mkataba na Akbar. Hebu fikiria ku 'confiscate' yale majengo kwa faida ya umma maana ni jipu lisilobebeka.
  8. S

    Ukweli kuhusu Mradi wa NSSF wa Dege Beach Kigamboni

    Land for Equity (Ardhi Kwa Hisa) na Mradi wa NSSF Dege Beach Kigamboni Jana Magazeti mengi yameandika kuwa kuna ufisadi mkubwa kwenye miradi ya Shirika la Hifadhi ya Jamii(NSSF), Hasa Mradi wa Dege Beach Huko Kigamboni ambapo imeelezwa na magazeti yetu ambayo yana editors na waandishi wasomi...
Back
Top Bottom