azimio la arusha

The Arusha Declaration Monument (Swahili: Mnara wa Azimio la Arusha) is a landmark monument and tourist attraction in Arusha, Tanzania. It was unveiled in 1977 by the nation's ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party to commemorate ten years of the Arusha Declaration. It is situated along Makongoro Road at the centre of the roundabout.
In April 2015, part of the monument was vandalised when one of its copper plaques was stolen.

View More On Wikipedia.org
  1. P

    Azimio la Arusha: Ni muhimu sana rais na cabinet yake yote waisome na kuielewa

    Hivi viongozi wetu wamesoma hii document ya Azimio la Arusha? Pesa tunaitaka, lakini tusifikiri yenyewe ndiyo italeta maendeleo ya nchi. Mikopo inaturudisha nyuma inafanya tuishi maisha magumu sana. Kodi zipo juu ili tu tuweze kulipa mikopo. 😭😭😭
  2. P

    Kiongozi yeyote serikalini akisoma azimio la Arusha, ni either ajiuzulu kutokana na dhambi anazowafanyia Watanzania

    Nadhani ni muda muafaka wa kusambaza kwa nguvu zote ujumbe uliopo kwenye AZIMIO LA ARUSHA. Hii document imezikwa ili Watanzania waendelee kutawaliwa na walafi wachache. Nakushauri ukiwa unasoma Azimio la Arusha, weka sauti ya ukali kidogo 🤣🤣🤣🤣
  3. Nyaka-One

    Msaada kwa mwenye kujua jina la band na wimbo unaozungumzia Nyerere kutembea kwa miguu kutoka Butiama hadi Mwanza kuunga mkono Azimio la Arusha

    Wadau naomba kwa mwenye kujua anifahamishe jina la band na wimbo wenye maneno haya: ..... Azimio la Arusha lilipotangazwa Tanzania, Nyerere alitembea kutoka Butiama mpaka Mwanza. Juhudi za Mwalimu na watanzania wote, haikupita miaka mingi tukatoka utumwani.... Ni wimbo wa miaka mingi...
  4. B

    Siasa za Mwalimu Nyerere za Ujamaa wa kujitegemea na itikadi yake ya Azimio la Arusha ndio chanzo cha umaskini wa Tanzania

    Leo Oktoba 14, 2024 tunakumbuka kifo cha muasisi wa Tanzania Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliyefariki siku na mwezi kama leo mwaka 1999 takribani miaka 25 sasa imepita Baada ya Tanzania kupata uhuru wake mwaka 1961 Mwalimu Nyerere alipata kufanya ziara nchini Marekani (USA) alikutana na Rais...
  5. Mohamed Said

    Hamisi Heri: Kutoka Uasisi wa TANU 1954 Hadi Azimio la Arusha 1967

    HAMISI HERI KUTOKA UASISI WA TANU 1954, KURA TATU 1958 HADI AZIMIO LA ARUSHA 1967 Familia ya Hamisi Heri imeipatia Maktaba picha ya Hamisi Heri mmoja wa waasisi wa TANU, Tanga. Picha imepigwa Korogwe mwaka wa 1967 wakati huo Hamisi Heri akiwa Mwenyekiti wa TANU wa Mkoa wa Tanga akikagua miradi...
  6. J

    Raia wa kawaida akiona viongozi ni wapigaji na yeye hadai risiti Ili apunguziwe bei. Nimelikumbuka Azimio la Arusha!

    Wakati mwingine mjadala ya kinyang'au huwachochea Wananchi nao wavunje sheria Wananchi Hawa siyo Wajinga ndio sababu tunasisitiza Uzalendo uanzie Juu kushuka Chini na si kinyume chake Wakati wa Azimio la Arusha mjadala wa Bashe na Mpina Usingekuwepo Kwa sababu ya miiko ya Uongozi Miiko...
  7. R

    Dr. Emanuel Nchimbi put your words into action

    “Embracing Nyerere's Legacy for Tanzanian Progress” In an emotive and forward-thinking speech delivered at the Mwalimu Nyerere Memorial Academy on April 8th, 2024, Dr. Emanuel Nchimbi, the Secretary-General of Chama cha Mapinduzi (CCM), outlined a compelling roadmap for Tanzanian leaders to...
  8. Logikos

    Maamuzi ya Zanzibar (1991) - Mwinyi Azimio la Arusha Halijageuzwa

    Maamuzi ya Zanzibar Mwaka 1991 Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ilikutana mjini Zanzibar na kufanya mabadiliko ya Azimio hilo. Akizungumza na wazee wa chama, viongozi wa Taifa, mashirika ya umma na watu binafsi Februari 25, 1991 jijini Dar es Salaam, aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM...
  9. Masalu Jacob

    Napendekeza kufufua Azimio la Arusha na kurasimisha Katiba ya Warioba

    Habari Tanzania! Poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale kwa marika yote. Napenda kutoa wazo kwa Utawala wa sasa na ule ujao kama itawapendeza na kuona inafaa kwao; na wanapenda kuona kesho yao ikiwa nzuri wanapaswa kwanza kulifufua upya Azimio la Arusha na baadae ndio pafanyike kusimikisha...
  10. M

    Hili suala la wastaafu kupeana Mahekalu, Mwalimu alisema ipo siku Watanzania watalidai Azimio la Arusha

    Katika kizungumkuti hiki kinachoendelea leo, Wakubwa wanapeana Mahekalu na Mabenzi wakati wanananchi mamilioni kwa mamilioni wanatopea kwenye lindi la umasikini, Imenikumbusha kauli ya mwalimu Nyerere kuwa ipo siku wananchi Watasimama na kulidai tena Azimio la Arusha! Binafsi ninajua kuwa...
Back
Top Bottom