azizi ki

Sohail Ahmed (Punjabi: سہیل احمد) (born 1 May 1963), also known as Azizi (Urdu: عزیزی), is a Pakistani actor, comedian and director.
He appears in television serials, movies and comedy stage plays principally based in Lahore.
Sohail Ahmed is best-known to the wider public for his character of Azizi in the Dunya TV comedy show Hasb-e-Haal, where he has been active since 2009. His character was developed in collaboration with Aftab Iqbal when Hasb-e-Haal started on Dunya News.

View More On Wikipedia.org
  1. OKW BOBAN SUNZU

    Ali Kamwe: Azizi Ki aliona jiwe akipiga penati

    Taarifa Rasmi ya Yanga kupitia msemaji wake. My Take Hivi huyu jamaa anawaonaje fans wa Yanga?
  2. LIKUD

    Tetesi: Nasikia Azizi Ki baada ya kufanyiwa sub alipanda gari na kuondoka hata kabla mechi haijaisha

    Hii inatoka kwa rafiki yangu mmoja shabiki wa Yanga lia lia ambae ameumizwa sana na matokeo ya leo utafikiri yeye ndio Injinia Hersi Said. (Anaepaswa kuumia ni Injinia Hersi sio wewe ambae hata Yanga hawakujui wala hunufaiki chochote na Yanga) Jamaa anasema Aziz Ki mara baada ya kufanyiwa...
  3. ngara23

    Usajili wa Chama unaathiri sana ya kiwango cha Azizi Ki na Pacome

    Usajili wa Chama sikuufurahia. Wachezaji Aziz ki na Pacome, wanacheza Kwa pressure na hofu maana wanaogopa jina la Chama. Walianza wanacheza Kwa bidii ya kupitilia na ku panic kuishia kufanya maamzi ya ovyo na kubutua ovyo. Maana wanataka kumwaminisha Coach kuwa wao ni Bora kuliko Chama...
  4. Comrade Ally Maftah

    Je, unamjua Azizi Ki, wa Yanga

    JE UNAMJUA STEPHANE AZIZ KI, AMETOKEA WAPI? Na Comrade Ally Maftah PACOME WA MCHONGO Stephane Aziz Ki, kiungo wa Day Young Africa anayevalia jezi namba 10 mgongoni, amezaliwa tarehe 6 March 1996 ( 28 ) huko Abidjan Ivory Coast ana urefu wa sentimeta 180 yaani Futi 5 na inch 11. Ameanzia...
  5. M

    Hamisa Mobetto na Azizi Ki Dubai

    Mwanamitindo na msanii wa muziki Tanzania Hamisa Mobetto amekubali kwenda dubai na mchezaji wa soka wa Yanga Ki Aziz kwa siku nne baada ya kuulizwa kama atakubali kenda nae jana katika usiku wa tuzo wa TFF. Wawili hao wamekua wakionekana pamoja mitandaoni, wameonekana pia pamoja jana katika...
  6. Nehemia Kilave

    Je, kwa Usajili waliofanya Yanga ni sahihi kumuachia Azizi Ki?

    Ni wazi kwamba Azizi ki anaelekea South Africa. Je, Yanga wako sahihi kumuacha aondoke au wanakosea?
  7. GENTAMYCINE

    Si tuna hela, sasa mbona huu ni mwezi Aziz Ki anatutoa jasho kumbakiza Yanga?

    Endeleeni tu kuyatumia Mafanikio yenu ya Tigo Pesa mliyoyapata ili kuficha Umasikini mkubwa na njaa iliyoko Kwenu.
Back
Top Bottom