Salaam, shalom!!
Tukifuata maelekezo ya Mungu, mfumo wa utawala uko wazi kabisa kwamba,
Ndani ya NDOA, kimamlaka, mume na mke ni kitu kimoja, pale juu wenye mamlaka ni wazazi wa kimwili na kiroho.
Mlio ndani ya NDOA, mnaowapa wake zenu nafasi ya kwanza baada ya Mungu, mnakosea sana ikiwa...