bab lee

  1. ukwaju_wa_ kitambo

    Historia ya msanii Bab Lee

    HISTORIA FUPI YA MSANII BAB LEE KATIKA TASNIA HII YA MUZIKI WA BONGO FLEVA.. "Bab lee jina langu halisi naitwa "Ally Omary " kiukweli mimi kwenye mambo ya muzuki nimeanza toka mwaka 2000 kwahiyo mpaka sasa nina Takribani miaka 24 katika game hii ya Bongo fleva. Tangu nilipoanza Muziki...
Back
Top Bottom