Mtoto ni mtu yeyote aliye na umri chini ya miaka 18, kutokana na kifungu cha 4 (1) cha Sheria ya Mtoto ya Tanzania ya mwaka 2009. Mtoto ana haki kama mtu mwingine (adult). Haki kama ya kupiga kura, mtoto hana. Hii ni kwa mujibu wa Ibara ya 5 (1) ya Katiba ya Tanzania.
Sheria ya mwaka 2009 ya...