baba wa familia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. yassird200

    Nawaza kumletea mzee nguo kama zawadi ya valentine. Ni sawa au nitakuwa nimekosea?

    Wakuu! Binafsi mimi si mtu wa masuala ya mapenzi hata kwenye siku kama ya leo. Leo nilikuwa na mpango wa kuwatembelea wazee, lakini kwa kuwa ni siku ya upendo, nikaona si vibaya nikichukua chochote kwa ajili yao. Kuhusu huyo mzee, ishu si yeye kama mtu, bali ni mama yake. Sasa nawaza kumletea...
  2. Jack Daniel

    Mwanaume ni nini kifanyike ili kuweka uhusiano mzuri baina ya wazazi na wake zetu

    Salaam jamiiforum hope my wazima. Jamani maisha ndiyo haya haya,utake usitake bado utaishi kwenye mfumo wa maisha ya watu wengi. Ukijipata kidogo kimaisha ukawa na uwezo fulani basi umetengeneza vita na uhasama Leo niongelee hii kadhia ya wazazi kuhisi wana haki Kula matunda ya kijana wao...
  3. G

    Mume na Baba wa familia anahitajika

    Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo. umri kuanzia miaka 33 hadi 40 awe Mkristo Elimu kuanzia bachelor degree na.... awe ameajiriwa/kujiajiri kama hana mtoto au anaye ni sawa awe mrefu. Mimi miaka 33,mkristo,sina...
  4. nergomafioso

    Mbona kama mama kanilengesha kwa huyu binti! Ndo tulipofikia huku

    Mimi kama kijana ninaye jitafuta bado ninaishi na mama yangu mzazi pamoja na mdogo wangu ambaye kwa sasa yupo kidato cha nne, dada yangu wa kwanza ameolewa yupo na familia yake yeye kaniacha miaka 6 ndio nikafuatia na mimi nimemuacha mdogo wangu wa mwisho kwa miaka 10. Katika swala la maadili...
Back
Top Bottom