Habari mdau, fikiri kuhusu hili...
Mungu alikasirika walipo jenga mnara wa Babeli, kwa lengo la kufikia mbinguni.
Jiulize, je kwa sasa hana tatizo na international space station?
Kama Mungu alizuia jaribio la watu kufika mbinguni, inamaana kwa sasa hawezi kuzuia?
Perhaps, space is...