Paul Ongili Owino (born 10 October 1989), also known as Babu Owino, is a Kenyan politician and member of parliament for Embakasi East Constituency. He gained media recognition the chairperson of Students Organisation of Nairobi University (SONU).
Mbunge wa Embakasi Mashariki, Babu Owino, amemwandikia barua ya kumtaka Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kutoa maelezo kamili ya kuzuiliwa kwake na sababu za kuorodheshwa kwake kama mtu aliyepigwa marufuku kuingia nchini Tanzania.
Babu Owino alidai kuwa alizuiliwa kwa saa tatu katika...