bagia za kalenga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jamani Bagia za Iringa tamu, hasa za Kalenga!

    Leo asubuhi nimeamka na hamu ya BAGIA ZA IRINGA, hasa za KALENGA!, liliko fuvu la Chifu Mkwawa aliyekuwa kiongozi wa Wahehe aliyepinga ukoloni wa Kijerumani mwishoni mwa karne ya 19 kabla ya kujiua mwaka 1898 ili kuepuka kukamatwa. Tuachane na ishu za historia maana isije ikawa ni chenga ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…