baharia

  1. I

    Baharia wa kitanzania ajinyonga kwenye meli nchini Uholanzi.

    Mtanzania baharia aitwaye Fadhili Mohamed Omar amefariki akiwa kwenye meli nchini Uholanzi baada ya kujinyonga. Kwa mujibu wa taarifa marehemu alikua ni mwenyeji wa mji wa Moshi, mkoa wa Kilimanjaro...
  2. G

    Mwanaume, acha kujitetea sana kwa mchumba/mke. Watoto uliozaa na wanawake wengine kabla yake usimwambie

    Mwanaume kazi yake ni kuzalisha (kutoa mbegu). Hata ukiwa umegawa mbegu kwa wanawake 10 tofauti wewe kaa kimya tu. Usianze kumfungulia codes zote huyo mwanamke unayetaka kuishi ama unayeishi naye. Acha awajue watoto anaowazaa yeye tu, wengine hawamuhusu. Hata kipato chako usimwambie, ili upate...
  3. G

    Kapeleka mpenzi geto bahati mbaya mwanamke akafariki. Anatakiwa kufanya nini ili asifungwe?

    Kuna njemba imepata msala hapa kitaa, muda huu watu wamekusanyika baada ya njemba kutoa taarifa kwa mjumbe. Iko hivi:- Njemba kavusha demu getoni kwake mida ya saa 1.30 jioni ya leo leo. Kamtafutia misosi kagonga kama kawaida. Saa 2 na madakika wakaingia kwenye uwanja wa 6 kwa 6. Bahati mbaya...
  4. Morning_star

    Mabaharia! Umeona manzi umeizimia! Kimwonekano unaona kuimudu ni mziki mnene! Kuweka heshima ya baharia unafanyaje?

    Kuna manzi fulani anaposti picha zake instagram na Facebook! Picha zake ziko public na mimi nimekuwa nikimfollow muda mrefu sana! Yeye hakuwahi kuaccept my request ya follow back! Nimemtumia private meseji hajibu! Status yake ni single na post za picha zake kwakweli anaonekana wife material...
  5. Andazi

    Baharia mwenzenu yememkuta msijesema ni uongo

    Siongezi neno shuka utizame
  6. DeMostAdmired

    Huyu baharia katuwakilisha vyema au kazingua?

    Wakuu mnaonaje huyu BAHARIA je KATUWAKILISHA VYEMA au hajui kuhandle?
  7. Mjanja M1

    Video: Baharia kafunga vioo

    Bila shaka huyu jamaa ni Member wa UWABATA (UMOJA WA WANAUME BAHIRI TANZANIA).
  8. Pang Fung Mi

    Naomba Wakataa Kuoa na Kataa Ndoa Tuunde Kamati yetu, Baraza Kuu, Jopo la Baharia wote na Uanachama wa Kudumu

    Ndugu wanachama na masenior , magavana na maseneta wote tuliobarikiwa kujielewa kwamba katika ulimwengu wa kibepari kuoa na ndoa ni adui wa maendeleo ya kiuchumi. Karibu tufanye mjadala wa kuandaa agenda. Mwenyekiti Donedrake karibu kwa muongozo wako. Mimi ntakuwa mwenyekiti wa kamati ya...
  9. Roving Journalist

    Lindi: Mabasi ya Saibaba na Baharia yagongana uso kwa uso 7 wapoteza maisha

    Ajali ya barabarani iliyohusisha gari mbili za abiria, Saibaba iliyokuwa inatoka Nachingwea kwenda Dar na Baharia iliyokuuwa inaelekea Nachingwea. Ajali hii imetokea jana mchana tarehe 05.10.2023 katika eneo la Kiwawa, Mkoani Lindi. Tunasubiri Taarifa rasmi kutoka kwa mamlaka ===== Watu saba...
  10. Azniv Protingas

    Msaada kuhusu uhandisi wa Meli

    Naomba kama kuna mtu ana ufahamu na uhandisi wa MELI ( marine engineer) acomment hapo, kwa faida yangu na wengine. Vitu kama masomo yake, ajira, mshahara, ugumu wa kazi n.k. chochote unachojua kuhusu hiyo fani kitanisaidia au unaweza kuzungumzia kuhusu fani nzima ya ubaharia. Natanguliza shukrani.
  11. John Haramba

    Baharia wa Ukraine akamatwa akitaka kuizamisha boti inayomilikiwa Mrusi Nchini Hispania

    Mbaharia mmoja wa Ukraine amekiri kujaribu kuizamisha boti inayomilikiwa na mkuu wa kampuni ya silaha ya serikali ya Urusi, kwa lengo la kulipiza kisasi kwa uvamizi wa Ukraine. Boti hiyo yenye urefu wa mita 48 sawa na futi 157 inayoitwa Lady Anastasia inamilikiwa na Mkurugenzi Mkuu wa...
  12. N

    Tunauza Kuku aina ya Kuroiler tupo Bunju "A" Kituo kwa Baharia

    Tunauza kuku aina ya Kuroiler F1, tunapatikana Bunju A, kituo "kwa Baharia", jirani na Kituo cha Mafuta cha GUDAL. Bei ni kuanzia 14,500-18,000..kutokana na uzito wa kuku. Bei ya jumla kuanzia kuku 10 tunafanya 15,000. Weka oda yako mapema na karibu tukuhudumie kwa uaminifu kabisa...
  13. Liverpool VPN

    Mabaharia mwenzangu, Hivi unajua "UMALAYA" ni gharama Sana?

    Eeh bwana eeh it's me Mr. Liverpool again. Mwenzenu nimekaa nikawazaa na kuwazua, nikaona dah "BAGOSHAAAA wanaume TUNANYONYWA SANAA" Iko hivi..... Mr. Liverpool ni mkulima wa Parachichi na miti ya mbao. Sasa bana, leo nimekaa nikawa napanga bajeti ya kuingia Shamba. Maana huwa naingia...
  14. Mkaruka

    Kama unaumia ukiombwa pesa na Mpenzi wako akiwa na shida, Je, utafurahia akisaidiwa na 'baharia' mwingine?

    Ningependa kujua hili. Kwasababu kwa kawaida mtu akikwama mtu wa kwanza kumwambia ni yule wa karibu. Ni nini mtazamo wako?
  15. Liverpool VPN

    Jinsi Baharia mmoja alivyojilipa Mafao yake ya NSSF

    Ndio usishangae jamaa alijilipa mafao.. !! Kuna mwana alikua anafanya Kazi halmashauri fulani hivi mwaka 2016 alibahatika kupata scholarship kwenda ulaya kusoma masters. Sasa ofisini (serikalini/halmashauri) walimbania ruhusa akaamua kuacha kazi ila kabla hajaacha alijiuliza na kufatilia mafao...
  16. Equation x

    Mwanaume ukiwa huna pesa unakosa nguvu ya maamuzi kwa mkeo

    Nguvu ya mwanaume siku zote ni uchumi/kipato. Kipato kinapokuwa chini hata nguvu pia ya kusimamia familia pamoja na mkewe hushuka. Inapotokea mkewe au mpenzie kumzidi kipato au cheo, hapo pia nguvu ya mwanaume huathiriwa. Mwanaume anakuwa hana nguvu ya kumuamrisha au kumuelekeza mkewe. Matokeo...
  17. Equation x

    Baharia tunza 'mpini' wako vizuri

    Closed
  18. Nafaka

    Baharia alivyokamatwa kama Muasi akiwa Guinea Bissau

    Ninaendelea kuwadonolea visa vya Bwana baharia mzamiaji. Akiwa anataka kusafiri kwenda spain huku akiwa hata hata passport. Akiwa kafanikiwa kufika Libya na kupata maswahibu, mpaka kaka yake akamtumia dollar 2000 aondoke pale Tripoli baada ya raia wengi wa kigeni kuawa. Baharia anaona ili aweze...
  19. M

    Mabaharia, umeogelea bahari ngapi?

    mabaharia kuweni wakweli na mfunguke Hadi leo hii tangu maisha yako ya kabla shule ya msingi, shule ya msingi, sekondari na chuo umekwisha kutana na papuchi ngapi? A. 1 HADI 5 B. 5 HADI 10 C. 10 HADI 15 D. 15 HADI 20 E. 20 NA KUENDELEA funguka baharia
Back
Top Bottom