Polisi wanatamba kuwa kutotii sheria utakamatwa na utachukuliwa hatua za kisheria.
Kuna kundi kubwa la watumiaji wa barabara wanamiliki bajaj na bodaboda nchini, kundi hili liko juu ya sheria.
HAKUNA wanaolidhibiti kundi hili, si polisi au chombo chochote cha dola.
Na kundi hili kwa kiasi...