bajeti kuu 2024/2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wiston Mogha

    ACT Wazalendo: Bajeti ya Serikali 2024/25 ni ya Matajiri na Kulipa Madeni

    NI LEO Uchambuzi Bajeti Kuu ya Serikali utakaofanywa na ACT Wazalendo utarushwa moja kwa moja na Online Tv mbalimbali. Kuzifahamu tazama katika bango. Hakikisha Hupitwi! ====== https://www.youtube.com/live/b83BKum1V0w?si=HuB4gP2CaV4cX3hT "Sote tunafahamu kwamba Juni 13 mwaka huu (2024)...
  2. Etwege

    Mbunge Shabiby: Wapigaji wameongezeka serikalini, sitasifia kila kitu

    Mbunge wa jimbo la Gairo mh Shabiby, wakati akichangia hotuba ya bajeti kuu amemshukia kama mwewe waziri wa fedha Mwigulu Nchemba kuwa tabia yake ya kutaka kuwa mzuri kwa kila mtu na kila taasisi imesababisha awe na mipango mingi isiyo na tija kwa taifa ikiwemo hela kutopelekwa kwa wakati kwenye...
  3. Mdude_Nyagali

    Tanzania tunapaswa kuwa na sheria kali dhidi ya viongozi mafisadi na wala rushwa

    Kwa huu ufisadi wa mawaziri na watendaji wengine unaoendelea nchini, ningekuwa Rais ningeukomesha ndani ya siku 100 za mwanzo katika uongozi wangu. Ningetunga sheria ya ufisadi na uhujumu uchumi ambayo ufisadi unaozidi mabilion adhabu yake ni kifo. Kwamba kesi za namna hiyo sheria itaweka wazi...
  4. J

    Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha kuagiza Sukari kwa kampuni ya simu, hii haitakuwa na tofauti na Ufisadi wa Lowassa Richmond

    Nimeona kupitia Jambo TV Mh. Mpina akidai Waziri Bashe ametoa Kibali kwa kampuni ya simu ya Itel yenye mtaji mdogo kuagiza Sukari ya Tsh. Billion 6.6. Hii inanikumbusha jinsi Hayati Ndesamburo alivyosema Stationary iliyopo pembeni ya hotel yake pale Mnazi mmoja ndio imejigeuza kuwa Richmond na...
  5. Q

    Mwigulu Vs Jeremy Hunt Waziri wa Fedha UK

    Mwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024. Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024. Huu ni ulimbukeni, ushamba au ujinga. LIPA KODI KWA MAENDELEO (YAO) YAKO
  6. Suley2019

    Pre GE2025 Mwigulu Nchemba: Upinzani hawafai kabisa watauvunja Muungano

    "Inawezekana wenzetu hawa kwa tamaa za madaraka hawajatilia maanani suala hili (Muungano) viongozi hao wanafikiri kuwa lugha hizo za kuhatarisha muungano zina mashiko kwa wapiga kura wao na kana kwamba hawajawahi kunufaika na uwepo wa muungano, kuligawa Taifa kwa ajili ya kufanikisha ajenda ya...
  7. Replica

    Watumiaji wa gesi asilia kwenye magari wamefikiwa, wawekewa tozo ya 382 kwa kila kilo

    Bajeti ya Mwigulu Nchemba inayosomwa leo imependekeza tozo ya Tshs 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari ikiwa na lengo la kuchangia mfuko wa kutengeneza barabara na kuleta usawa kwa magari yanayotumia mafuta. Swali langu kwa Mwigulu, kwanini ahangaike na kuleta usawa na...
  8. Suley2019

    Mwigulu Nchemba: Serikali imebaini Mawakala wakusanya kodi ambao sio waaminifu katika kutimiza majukumu yao

    Mawakala hao wamekuwa wakikusanya kodi kutoka kwa Wananchi na wamekuwa wakiziwasilisha kusikotakiwa kwa mujibu wa sheria. Ni vyema ifahamike kuwa kodi. Ifahamike kuwa yoyote anayekusanya sio yeye anayewajibika kuilipa hiyo kodi hivyo anapotumia hivyo anapoitumia anaiibia serikali...
  9. BabuKijiko

    Hatimaye kikokotoo chalegezwa, Serikali imepandisha Malipo ya Mkupuo kwa Wastaafu kutoka 33% hadi 40%

    Akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali Bungeni, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imesikia kilio cha Wastaafu na hivyo imepandisha Malipo ya Mkupuo kutoka 33% hadi 40% Pia, Dkt. Mwigulu amesema Rais Samia ameagiza kuongezwa kwa malipo hayo kwa Wastaafu waliokuwa wakilipwa 25%...
  10. Analogia Malenga

    Mwigulu: Mvua na Kimbuga Hidaya zimeharibu kilometa 528 za barabara

    Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba ametaja athari za Kimbunga Hidaya na Mvua za elnino kuwa ziliharibu barabara 68 nchini, ambapo ma-culvet 189 yaliharibiwa. Aidha ni jumla ya kilometa 528 zimeharibiwa kutokana na hali hiyo. Waziri amesema barabara hizo zimeanza kujenga na baadhi zimeanza kuwa...
  11. Replica

    Tanzania ya uchumi wa kidijitali yanukia kuelekea 'Cashless economy'

    Waziri Mwigulu Nchemba amesema Serikali ina mpango ya kupandisha hadhi ya Tanzania kuwa na uchumi wa kidijitali na mojawapo ya hatua kubwa inayochukuliwa ni kuwa mfumo madhubuti ya kidijitali itakayowezesha wananchi kufanya malipo kwa urahisi popote kwa gharama nafuu Serikali kupitia Benki kuu...
  12. Analogia Malenga

    Waziri Mwigulu: Bado tuko imara kukopa kuliko nchi nyingine za Africa Mashariki na SADC

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kwa tathmini za deni la taifa la Tanzania, bado tuko vizuri kukopa zaidi ikifananishwa na nchi zote za Africa Mashariki na SADC. Mwigulu amesema hayo akisoma hotuba ya bajeti bungeni ambapo amesema deni lililopo limefanya mambo mengi mazuri ikiwemo...
  13. The Sunk Cost Fallacy 2

    Pre GE2025 Waziri Mwigulu: Wanasiasa waliofilisika wanatafuta uhalali wa kisiasa kwa ubaguzi ni hatari na wa hovyo

    Akisoma Bajeti ya Serikali Bungeni Waziri wa Fedha Dr.Mwigulu Nchemba ametoa onyo Kali Kwa Viongozi wa Kisiasa wanaopanda mbegu za chuki, ubaguzi na kuvunja utaifa wa Tanzania kuacha mara Moja vinginevyo watashighulikiwa. Dr.Nvhemba amesema watu hao wanakiuka misingi ya Taifa hili na misingi ya...
  14. Pfizer

    TPA yatakiwa kukusanya mapato yatokanayo na wharfage kama ilivyo sehemu zote duniani

    WADAU wa Bandari wameishauri serikali kuruhusu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuendelea kukusanya tozo itokanayo na huduma za bandari (wharfage) kama ilivyo sehemu zote duniani. Ushauri huo umetolewa wiki hii na wadau hao pamoja na wachumi, ikiwa ni miezi michache baada ya wabunge kutoa...
  15. Analogia Malenga

    Mwigulu Nchemba: Tsh. Trilioni 5 za Deni la Taifa zimeongezeka kutokana na kushuka kwa Thamani ya Shilingi

    Mwigulu Nchemba amelaumu suala la watu kutumia deni la taifa kisiasa, hivyo ametaja baadhi ya sababu za deni la taifa kuongezeka. Mwigulu amesema Tsh trilioni 5 zilizoongezeka kwenye deni la taifa ni kutokana na kushuka kwa thamani ya shilingi dhidi ya dola. Amesema suala hilo limetokea...
  16. Analogia Malenga

    Mwigulu ataka makosa ya barabarani yachukuliwe serious zaidi kuliko ilivyo sasa

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ametaja idadi ya ajali zilizotokea Tanzania kwa mwaka ambapo ametaja kuwa kumerekodiwa ajali 1093 ambapo zimesababisha vifo 7636 na majeruhi 12663 ambapo wengine wana ulemavu wa kudumu. Aidha ametaja kuwa suala hili ni chanzo cha yeye pia kuondolewa uwaziri...
  17. Teko Modise

    Pre GE2025 Mwigulu badala ya kuwasilisha bajeti yeye anatumia muda mrefu kumkandia Tundu Lissu

    Taifa linamsikiliza Waziri wa Fedha akiwasilisha bajeti yeye anatumia dakika karibia 10 kumpiga vijembe Tundu Lissu na Muungano. Au mimi ndio sielewi? Lissu anahusiana nini na Bajeti Kuu ya Serikali? ==== Pia soma: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha...
  18. Analogia Malenga

    Waziri Mwigulu: Kutoza ndani ya nchi kwa dola ni kosa, watakiwa kuacha kuanzia Julai mosi

    Mwigulu Nchemba akisoma bajeti ya serikali bungeni amesema suala la taasisi binfasi na za umma kutaka malipo ya huduma kwa fedha za kigeni zinaleta shida kwa watanzania kwa kuwa wanatumia Tsh na sio dola. Amesema suala hili linafanya watanzania kuhangaika kuipata dola, wakati inabidi hata...
  19. Mkalukungone mwamba

    Mwigulu Nchemba: Tutaanza kutumia VAR msimu ujao ili kupunguza matukio yenye utata

    Amayesema hayo wakati Akisoma Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, leo Juni 13, 2024 === Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amependekeza kutoa msamaha kwenye uingizaji wa mashine za ‘’VAR’’ na vifaa vyake kwa ufafanuzi utakaotolewa hapo baadaye akisema uamuzi huo...
  20. Analogia Malenga

    Waziri Mwigulu apendekeza msamaha wa kodi kwa vifaa vya VAR

    Akisoma bajeti ya serikali bungeni, waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba ameshauri serikali kuweka msamaha wa kodi kwa vifaa vya VAR ili kuondoa sintofahamu katika mpira wa miguu. Waziri Nchemba amesema, Tanzania inafanya vizuri kwenye michezo ndio maana imepewa fursa ya kuhost AFCON 2027. Kwa...
Back
Top Bottom