Wasalam wanajumui wa Afrika mashariki,
Swala la raia vijana wa Kenya kusimama kwa umoja wao bila kuchoka na kukataa wachache kuwaamulia ndivyo sivyo juu ya maisha yao, kimezua mitazamo tofauti katika ulimwengu.
Mitazamo hio imetokana na mlengo wa muhusika anatokea wapi, maeneo mbalimbali...