Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya viwanda ktk nchi yetu. Wakati huo huo tunailalamikia bidhaa kupanda bei.
Mimi sikutegemea malalamiko ya bidhaa kupanda Bei kwa muda huu ambapo tunahangaika kufufua viwanda.
Kwa mtazamo wangu kwa hatua hii ya awali ya kuendeleza sekta ya viwanda...