Wakuu,
Huko nchini Kenya mambo yameendelea kuwa ya moto.
Hivi karibuni ripoti ya Hazina ya Taifa imeonyesha kuwa kati ya Septemba 1 hadi Desemba 31, 2024, serikali ya Kenya ilikopa jumla ya KSh68.65 bilioni (Trilioni 1 moja Bilioni 3 Tshs) sawa na wastani wa KSh562.7 milioni (Billion 11 na...
Nimeamini kenya Ni taifa kubwa kwa nyanja zote za siasa na uchumi na mamb ya kijamii kwa kuitazmaa bajeti yake tu Ni Mara mbili ya bajeti ya Tanzania ya trillion 46
Taifa Lina ekeza kwenye mamb ya .msingi sna hakna blaa blahaa Kama huku kwetu serkali inasamehe Kodi kwa vitu vya kipuuz na...
Wakuu, nimekuta ripoti ya gazeti la thestandard la kenya toleo la leo kuhusu maoni ya wananchi baada ya bajeti hiyo kupendekeza mambo kadhaa hasa ongezeko la.kodi.
Wiki ijayo Mwigulu Nchemba, ambaye aliwahi kudokeza kuongeza tozo, atawasilisha bajeti ya serikali ya 2024/2025.
Wananchi wa Kenya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.