A bakery is an establishment that produces and sells flour-based food baked in an oven such as bread, cookies, cakes, pastries, and pies. Some retail bakeries are also categorized as cafés, serving coffee and tea to customers who wish to consume the baked goods on the premises. Confectionery items are also made in most bakeries throughout the world.
Hello wana jamvi kwa wale wanaohitaji kuanzisha bakery au Hotel na mgahawa mashine zote unazipata dukani kwetu tunapatikana kariakoo mtaa wa masasi.
Mashine zetu zote zina waranti pia bei zetu ni nafuu sana na wale wa mikoani tunakusaidia namna gani usafirishe mashine yako
Mashine zilizopo...
Hello unataka kufungua bakery au mgahawa/hotel mashine zote utazipata kwetu Pia utapewa ushauri bure kabisa tupo kariakoo mtaa wa masasi namba zetu 0774150519
Kwa hili nawaomba mamlaka ya chakula na dawa kwa kushirikiana na serikali kukitupia macho kiwanda cha kuoka mikate kiitwacho Wilson Bakery kilichopo mjini Bunda Kwani kinahatarisha afya za walaji kwa kuwauzia mikate na keki zilizokwisha pita muda wa matumizi.
Kwanza vifungashio vyake vingi...
Hivi karibu kumekuwepo na taarifa ya kuwataka watu kutokula vitafunwa kama vile mikate n.k kwa ajili ya kuepuka maambukizi ya CoronaVirus
Taarifa hiyo ili kupewa uhalali wake, iliambatanishwa na nembo ya Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa(WHO) imesambaa kwenye Mitandao ya Kijamii ikidai watu...
Jiko la deki 3 ,trey 9 linauzwa, kwa wenye nia ya kufungua bakery ama baking zozote ni jiko zuri sana ni jipya halijawahi kutumiwa, bei mil 5 ,tuwasiliane no.0777482509.karibuni ulimwengu wa wajasiriamali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.