Mlio na ukaribu na bakresa embu mfikishieni wazo langu 🤔..
Bakresa group inaupiga mengi sana wamewekeza sekta nyingi sana hapa nchini.
Nakutoa ajira kwa watu wengi sana Tanzania na nje ya Tanzania.
Juzi wakati anapewa tuzo ya mlipakodi Bora wa hiyari, Nikaanza kuwaza mwamba kawekeza sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.