balehe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Uliwezaje kumwongoza kijana balehe kimalezi kwenye umri wa upumbavu (foolish age)?

    Uliwezaje kumwongoza kijana balehe kimalezi kwenye umri wa upumbavu (foolish age)? Umri una changamoto sana huu maana kijana ameanza kuutambua ulimwengu na mema yake. Kipindi hiki kiburi kinakuwa kwenye ubora wake Kama ni mkaka basi atajiona tayari kawa mbaba Kama ni mdada basi atajiona...
  2. Ulevi wa balehe

    Hello Wana JF,
  3. Kwa uchunguzi niliyofanya nimegundua mwanaume akifika miaka 40+ huwa anapata balehe tena!

    Uchunguzi huu nimeufanya mara kadhaa sasa nimejiridhisha kuwa mwanaume huwa anabalehe kwa mara ya pili akifika umri wa miaka 40. Katika umri huu mwanaume anakuwa kama teenager wa miaka 16. Utashangaa anafukuzia vibinti vidogo ila yeye hajali anaona ni kama age mate wake licha ya watu kumwona wa...
  4. Changamoto za Malezi ya Watoto kipindi wakiwa kwenye Balehe

    Huu ni wakati ambao mabadiliko mengi katika mwenendo wa maisha ya mtoto hujitokeza ambayo hutokana na homoni ambazo husababisha mabadiliko ya kimwili, kiakili, kihisia, na mahusiano yake kijamii pia. Katika umri huu, watoto hufanya uamuzi wenyewe kuhusu marafiki, michezo wanayoipenda. hisia za...
  5. T

    SoC02 Bado upo umuhimu wa mtoto wa Kiume kuelimishwa kuhusu hedhi ya mtoto wa Kike

    Nini maana ya hedhi, Hedhi ni kipindi au muda katika kila mwezi ambapo mwamke mwenye umri wa kuzaa hutokwa na damu kwenye uke ili kuanza mzunguko mwingine wa yai la uzazi. Kamusi ya kiswahili (karne ya 21 Toleo jipya) uk wa 147. Nakumbaka mwaka 2007 ni kiwa darasa la tano ndani ya darasa letu...
  6. N

    Ni kawaida binti wa miaka 13 kuvunja ungo?

    Habarini! Huu ni mwaka wa 13 wa kuzaliwa binti yangu na yupo darasa la sita sasa. Jana mama yake ananivujishia siri kuwa mtoto amekuwa (amevunja ungo). Wadau, ni kawaida kwa binti wa miaka 13 kuvunja ungo au hii ni abnormality?!! Nilitarajia kuanzia 15 huko na kuendelea. Uzoefu wenu...
  7. Antony Mtaka awataka Ma - DC Wapya kuepuka balehe ya Madaraka

    Alitoa kauli hii kabambe mara tu baada ya kumaliza kuwaapisha wateule wapya kwenye nafasi ya Ukuu wa Wilaya Mkoani Dodoma. Bila shaka kauli hii kali ililenga kuwakumbusha Viongozi hao wapya wasitumie madaraka yao vibaya Chanzo : Mwananchi
  8. Kitabu cha Mapenzi cha Mama

    Na imani mu wazima wa afya Kama kawaida tupatapo upenyo lazima tulete story kijiweni ili kijiwe kizidi kunoga kwa sisi wazee wa mitandaoni [emoji2956] Basi kipindi hicho Ni kijana mdogo ndio balehe Imeanza kukomaa vivuzi ndio vinachomoza ukiona tu hata chupi ya beki tatu kidushe lazima kisimame...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…