balile

Gerald Lee Baliles (July 8, 1940 – October 29, 2019) was a Virginia lawyer and Democratic politician whose career spanned great social and technological changes in his native state. The 65th Governor of Virginia (from 1986 to 1990), the native of Patrick County previously served as the Commonwealth's attorney general (1982–85), and represented Richmond and Henrico County in the Virginia House of Delegates (1972-1982). After another stint in private legal practice, with Hunton & Williams (1991-2005), Baliles directed the nonpartisan Miller Center of Public Affairs associated with his alma mater, the University of Virginia (2006-2014).

View More On Wikipedia.org
  1. Umuhimu wa specialisation katika taaluma ya habari: Balile amhenyesha Tundu Lissu katika kikao na wahariri, ambana vilivyo katika masuala ya sheria

    Ni muhimu sana waandishi wakawa na specialisation. Taaluma ya habari ni kibebeo cha taaluma maalum ambayo mtu anayo. Nimesikiliza mjadala katika jukwaa la wahariri hakika utaaluma wa Balile katika sheria ulimfanya Lissu ayumbe, akaishia kutoa maneno ya kashfa na matusi na hata kujaribu...
  2. Balile na Pascal Mayalla je wanamtumikia nani , mbona hawana weledi katika kazi zao ?

    Balile na pascal Mayalla hawana weledi katika uandishi wa habari. Naomba waendelee na siasa za kusifu na sio habari.
  3. Kama Taifa kuna sehemu tumekosea. Sijajua ni malezi au Elimu. Balile kumjibu Bujiku ni ishara ya mwisho wa Dunia

    Mimi nazungumzia 1. Maadili 2. Elimu 3. Umri Zamani sana ilikuwa huwezi suluhisha ugomvi wa baba na mama. Hata kama unamjua mkosaji. Huwezi sema kitu. Unawafuata wazee unawaambia wakaongee na wazazi. Tena wazee wenye akili, busara na hekma. Siyo kila mzee. Sijaelewa wapi tulikuja anguka...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…