balozi dkt. kusiluka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Balozi Dkt. Kusiluka: Rais Samia anataka ufanisi wa Mashirika ya Nchini yawe na viwango vya kimataifa

    Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka amesema ndoto ya Rais Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha nchi inakuwa na mashirika yenye ufanisi mkubwa na wa viwango vya kimataifa. Hivyo, amewataka Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa taasisi na Mashirika ya Umma kuhakikisha wanatekeleza...
  2. Balozi Dkt. Kusiluka: Wizara na Taasisi za Umma wekeni program za mazoezi ya watumishi

    Dodoma Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeshiriki uzinduzi wa michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) ambapo taasisi hizo zimehimizwa kuandaa programu za mazoezi na michezo kuanzia sasa. Ili kufanikisha azma hiyo, Katibu Mkuu Kiongozi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…