balozi mbarouk

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rais Samia amepuuza Katiba katika Uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Nje?

    Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk 21.07.2024 alijiuzulu ubunge wa kuteuliwa na Rais, akiwa Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Jumapili, 21.07.2024 usiku, Balozi Mahmoud Thabit Kombo akateuliuwa kuwa Waziri katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki...
  2. Balozi Mbarouk amuaga Balozi wa Australia

    Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb.) amemuaga Balozi wa Australia nchini mwenye makazi yake nchini Kenya, Mhe. Luke Williams baada ya kumaliza muda wake wa uwakilishi. Akizungumza na Balozi Williams walipokutana katika Ofisi Ndogo za...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…